AFRICAN TRADITIONAL WEDDINGS (COSTUMES) ! ----- JE TANZANIA KAMA NCHI HATUNA VAZI LA KITAMADUNI KWENYE HARUSI?


                                                TRADITIONAL WEDDINGS IN GHANA







        
 
                                            TRADITIONAL WEDDINGS IN GABON






                                            TRADITIONAL WEDDINGS IN RWANDA
             









                                        TRADITIONAL WEDDINGS IN CONGO





                                           TRADITIONAL WEDDINGS IVORY COAST





        

                                           TRADITIONAL WEDDINGS ETHIOPIA







                                              TRADITIONAL WEDDINGS KENYA




                                   KENYA + NIGERIA TRADITIONAL WEDDINGS




                                                TRADITIONAL WEDDINGS NIGERIA







                                          TRADITIONAL WEDDINGS IN SOMALIA




                                             TRADITIONAL WEDDINGS IN GAMBIA




                  
                                         TRADITIONAL WEDDINGS IN ERITREA
               




                                             TRADITIONAL WEDDINGS IN EGYPT




                        
                                            TRADITIONAL WEDDINGS IN LIBYA

                 



 
                                        TRADITIONAL WEDDINGS IN CAMEROON






                                          TRADITIONAL WEDDINGS IN MOROCCO
   



           
                                             TRADITIONAL WEDDINGS IN UGANDA
                  


                          


                                          TRADITIONAL WEDDINGS IN SOUTH AFRICA






UNAWATAMBUA WANAUME HATARI KWA KUVUNJA NDOA ZA WATU ??


Watu huoana kufuatana na utashi wao na sababu wanazozijua wenyewe. Hata hivyo ni sawa tukisema kwamba watu wengi huingia kwenye  ndoa  kwa lengo la kuishi na yule wampendae kwa kadri inavyowezekana. Kwa wale ambao  viapo vyao vya ndoa vinasema “hadi kifo  kiwatenganishe”, tunaweza kusema kwamba, wanaingia kwenye ndoa kwa maisha ya kudumu pamoja hadi watakapoiaga  dunia. Ndoa inawapatia wanandoa uhalali kiimani, kimila na kisheria wa kuishi kinyumba, kuzaa na kulea watoto, kutunzana, kupendana kwa kiwango cha juu na pia kuhudumiana. Mwanandoa anapata haki zake na kubanwa kutekeleza  wajibu unaompasa kutimiza.Kwa maneno mengine ndoa zina miiko yake na kanuni na taratibu zake ambazo zinapaswa kuzingatiwa ili ndoa isimame.
Pamoja na kwamba lengo la kuoana ni kuishi na kudumu pamoja, hali halisi ni kwamba kuoana na kuachana siku hizi ni jambo la kawaida. Ndoa zinafungwa tena kwa  gharama kubwa. Watu wanasherehekea na kushuhudia viapo vya mke na mume kuishi pamoja maisha yao yote tena kwa mapenzi makubwa katika hali zote. Ni ya kweli hayo au ni mchezo wa kuigiza tu? Baada ya sherehe na cherekochereko wanandoa wanaanza maisha katika hali halisi ya maisha. The party is over. Kufumba na kufumbua unasikia hawapo tena pamoja. Sababu zipo nyingi ikiwemo kukosa uvumilivu na subira.
Mwanzo wa ndoa tunaambiwa ni tamu kama chungwa, katikati ni tamu kama limao au ndimu na mwishowe huweza kuwa chungu kama shubiri! Inapokuwa kwenye utamu wa chungwa, wanandoa huwa kwenye ulimwengu wa kivyaovyao, wa kiparadiso fulani na siyo rahisi kufikiria kuna siku ndoa hiyo itakapogeuka kuwa chungu! Maisha ya ndoa, siyo lelemama, ni safari isiyo na ramani inayoeleweka. Kuna sehemu itakuwa tambarare, mara utakutana na mabonde, milima na wakati mwingine utalazimika kupita juu ya madaraja mabovu ya kuvuka mito yenye mamba na viboko!
- See more at: http://www.fikrapevu.com/kwanini-wanawake-wanaamua-kubaki-na-waume-wanaosaliti-mahusiano-ya-ndoa/#sthash.ks3zQfAd.dpuf
           
Watu huoana kufuatana na utashi wao na sababu wanazozijua wenyewe. Hata hivyo ni sawa tukisema kwamba watu wengi huingia kwenye  ndoa  kwa lengo la kuishi na yule wampendae kwa kadri inavyowezekana. Kwa wale ambao  viapo vyao vya ndoa vinasema “hadi kifo  kiwatenganishe”, tunaweza kusema kwamba, wanaingia kwenye ndoa kwa maisha ya kudumu pamoja hadi watakapoiaga  dunia. Ndoa inawapatia wanandoa uhalali kiimani, kimila na kisheria wa kuishi kinyumba, kuzaa na kulea watoto, kutunzana, kupendana kwa kiwango cha juu na pia kuhudumiana. Mwanandoa anapata haki zake na kubanwa kutekeleza  wajibu unaompasa kutimiza.Kwa maneno mengine ndoa zina miiko yake na kanuni na taratibu zake ambazo zinapaswa kuzingatiwa ili ndoa isimame.
Pamoja na kwamba lengo la kuoana ni kuishi na kudumu pamoja, hali halisi ni kwamba kuoana na kuachana siku hizi ni jambo la kawaida. Ndoa zinafungwa tena kwa  gharama kubwa. Watu wanasherehekea na kushuhudia viapo vya mke na mume kuishi pamoja maisha yao yote tena kwa mapenzi makubwa katika hali zote. Ni ya kweli hayo au ni mchezo wa kuigiza tu? Baada ya sherehe na cherekochereko wanandoa wanaanza maisha katika hali halisi ya maisha. The party is over. Kufumba na kufumbua unasikia hawapo tena pamoja. Sababu zipo nyingi ikiwemo kukosa uvumilivu na subira.
Mwanzo wa ndoa tunaambiwa ni tamu kama chungwa, katikati ni tamu kama limao au ndimu na mwishowe huweza kuwa chungu kama shubiri! Inapokuwa kwenye utamu wa chungwa, wanandoa huwa kwenye ulimwengu wa kivyaovyao, wa kiparadiso fulani na siyo rahisi kufikiria kuna siku ndoa hiyo itakapogeuka kuwa chungu! Maisha ya ndoa, siyo lelemama, ni safari isiyo na ramani inayoeleweka. Kuna sehemu itakuwa tambarare, mara utakutana na mabonde, milima na wakati mwingine utalazimika kupita juu ya madaraja mabovu ya kuvuka mito yenye mamba na viboko!
- See more at: http://www.fikrapevu.com/kwanini-wanawake-wanaamua-kubaki-na-waume-wanaosaliti-mahusiano-ya-ndoa/#sthash.ks3zQfAd.dpu     
Watu huoana kufuatana na utashi wao na sababu wanazozijua wenyewe. Hata hivyo ni sawa tukisema kwamba watu wengi huingia kwenye  ndoa  kwa lengo la kuishi na yule wampendae kwa kadri inavyowezekana. Kwa wale ambao  viapo vyao vya ndoa vinasema “hadi kifo  kiwatenganishe”, tunaweza kusema kwamba, wanaingia kwenye ndoa kwa maisha ya kudumu pamoja hadi watakapoiaga  dunia. Ndoa inawapatia wanandoa uhalali kiimani, kimila na kisheria wa kuishi kinyumba, kuzaa na kulea watoto, kutunzana, kupendana kwa kiwango cha juu na pia kuhudumiana. Mwanandoa anapata haki zake na kubanwa kutekeleza  wajibu unaompasa kutimiza.Kwa maneno mengine ndoa zina miiko yake na kanuni na taratibu zake ambazo zinapaswa kuzingatiwa ili ndoa isimame.
Pamoja na kwamba lengo la kuoana ni kuishi na kudumu pamoja, hali halisi ni kwamba kuoana na kuachana siku hizi ni jambo la kawaida. Ndoa zinafungwa tena kwa  gharama kubwa. Watu wanasherehekea na kushuhudia viapo vya mke na mume kuishi pamoja maisha yao yote tena kwa mapenzi makubwa katika hali zote. Ni ya kweli hayo au ni mchezo wa kuigiza tu? Baada ya sherehe na cherekochereko wanandoa wanaanza maisha katika hali halisi ya maisha. The party is over. Kufumba na kufumbua unasikia hawapo tena pamoja. Sababu zipo nyingi ikiwemo kukosa uvumilivu na subira.
Mwanzo wa ndoa tunaambiwa ni tamu kama chungwa, katikati ni tamu kama limao au ndimu na mwishowe huweza kuwa chungu kama shubiri! Inapokuwa kwenye utamu wa chungwa, wanandoa huwa kwenye ulimwengu wa kivyaovyao, wa kiparadiso fulani na siyo rahisi kufikiria kuna siku ndoa hiyo itakapogeuka kuwa chungu! Maisha ya ndoa, siyo lelemama, ni safari isiyo na ramani inayoeleweka. Kuna sehemu itakuwa tambarare, mara utakutana na mabonde, milima na wakati mwingine utalazimika kupita juu ya madaraja mabovu ya kuvuka mito yenye mamba na viboko!
- See more at: http://www.fikrapevu.com/kwanini-wanawake-wanaamua-kubaki-na-waume-wanaosaliti-mahusiano-ya-ndoa/#sthash.ks3zQfAd.dpuf
                
Watu huoana kufuatana na utashi wao na sababu wanazozijua wenyewe. Hata hivyo ni sawa tukisema kwamba watu wengi huingia kwenye  ndoa  kwa lengo la kuishi na yule wampendae kwa kadri inavyowezekana. Kwa wale ambao  viapo vyao vya ndoa vinasema “hadi kifo  kiwatenganishe”, tunaweza kusema kwamba, wanaingia kwenye ndoa kwa maisha ya kudumu pamoja hadi watakapoiaga  dunia. Ndoa inawapatia wanandoa uhalali kiimani, kimila na kisheria wa kuishi kinyumba, kuzaa na kulea watoto, kutunzana, kupendana kwa kiwango cha juu na pia kuhudumiana. Mwanandoa anapata haki zake na kubanwa kutekeleza  wajibu unaompasa kutimiza.Kwa maneno mengine ndoa zina miiko yake na kanuni na taratibu zake ambazo zinapaswa kuzingatiwa ili ndoa isimame.
Pamoja na kwamba lengo la kuoana ni kuishi na kudumu pamoja, hali halisi ni kwamba kuoana na kuachana siku hizi ni jambo la kawaida. Ndoa zinafungwa tena kwa  gharama kubwa. Watu wanasherehekea na kushuhudia viapo vya mke na mume kuishi pamoja maisha yao yote tena kwa mapenzi makubwa katika hali zote. Ni ya kweli hayo au ni mchezo wa kuigiza tu? Baada ya sherehe na cherekochereko wanandoa wanaanza maisha katika hali halisi ya maisha. The party is over. Kufumba na kufumbua unasikia hawapo tena pamoja. Sababu zipo nyingi ikiwemo kukosa uvumilivu na subira.
Mwanzo wa ndoa tunaambiwa ni tamu kama chungwa, katikati ni tamu kama limao au ndimu na mwishowe huweza kuwa chungu kama shubiri! Inapokuwa kwenye utamu wa chungwa, wanandoa huwa kwenye ulimwengu wa kivyaovyao, wa kiparadiso fulani na siyo rahisi kufikiria kuna siku ndoa hiyo itakapogeuka kuwa chungu! Maisha ya ndoa, siyo lelemama, ni safari isiyo na ramani inayoeleweka. Kuna sehemu itakuwa tambarare, mara utakutana na mabonde, milima na wakati mwingine utalazimika kupita juu ya madaraja mabovu ya kuvuka mito yenye mamba na viboko!
- See more at: http://www.fikrapevu.com/kwanini-wanawake-wanaamua-kubaki-na-waume-wanaosaliti-mahusiano-ya-ndoa/#sthash.ks3zQfAd.dp

   Huyu hapa NAKSHI akituelezea kwa ufupi ...

NDUGU zangu, katika maisha ya sasa kuna watu flani ambao ukiona wana ukaribu uliopitiliza kwa mke wako, jua kuna jambo nyuma ya pazia na ukishangaashangaa unaweza kujikuta unamegewa penzi lako hivihivi.
Hiki nitakachokielezea leo nimekifanyia uchunguzi wa muda mrefu na kwa wale waliokumbana na hali halisi ya mambo, watakubaliana nami kwa asilimia zote. Juzi nilipata bahati ya kusuluhisha ugomvi wa rafiki yangu ambaye yeye na mkewe ni wafanyabiashara.
Chanzo cha ugomvi wao ni daktari mmoja ambaye inaonekana kwa muda mrefu amekuwa ‘akiitafuna’ ndoa yao na siku hiyo ndiyo ule msemo wa za mwizi arobaini ulipotimia. Rafiki yangu huyo alinasa sms kutoka kwa dokta huyo akitaka wakutane na mkewe siku hiyo. Bahati ni kwamba, mwanaume huyo alikuwa akimpenda sana mke wake na hata nilipomshauri amsamehe waanze ukurasa mpya, alinielewa. Lakini wakati hilo likitokea, jana yake nilisoma habari ya mke wa mtu aliyefumaniwa na kijana mmoja ambaye ni muuza genge mtaani kwao. Aibu ilioje kwa mwanamke huyo! Hivi inakuwaje mpaka mke wa mtu ambaye mume wake anahangaika juani kutafuta noti kisha mkewe huku nyuma anatoa penzi kwa muuza genge kirahisi? Hii inauma sana! Matukio hayo mawili yalinifanya nifikie hatua ya kuandika makala haya juu ya watu wanaongoza kwa kusambaratisha ndoa za watu.
Muuza genge  
Kuna tabia ambayo baadhi ya wanawake walio katika ndoa wanayo ya kubana matumizi yao ya kila siku kwa lengo la kuweka fedha za kufanyia mambo mengine baadaye. Katika mazingira hayo wapo wanaojiweka karibu sana na watu hao wakiamini watapewa vitu vya bure kama vile nyanya, vitunguu nk. Wanawake wa sampuli hii wakikutana na wauza genge viwembe hawawezi kupona na ndiyo maana mwanaume anashauriwa kuwa makini sana na wauza magenge.


Mwalimu
Hapa nazungumzia zaidi walimu wa vyuoni. Baadhi yao wamekuwa wakiwarubuni wanawake kwa kuwaahidi kuwafaulisha kwenye mitihani na wamekuwa wakiwatishia kuwafelisha endapo watawachomolea. Hilo limekuwa likiwafanya baadhi ya wanawake wasio na msimamo kuwa tayari kwa lolote ili mradi wafaulu.

Dereva bajaji, teksi
Nani asiyejua kuwa baadhi yao wanaongoza kwa ukware? Kwa kifupi hawa ni miongoni mwa watu ambao mwanaume hatakiwi kukubali ukaribu uliopitiliza kwa wake zao kwani historia inaonesha wengi wao wamekuwa wepesi wa kuomba penzi hasa mazoea yanapovuka mipaka.
Muuza duka
Mama mmoja ambaye mume wake anafanya biashara za kusafiri mikoani alinaswa na mpangaji ambaye kwenye nyumba anayoishi mwanaume huyo ana duka. Baada ya tukio hilo ilibainika mama huyo alikuwa na tabia ya kuchukua vitu dukani hapo na siku hiyo alipotakiwa kulipa alimwambia kimasihara kuwa, yeye hana fedha kama vipi wamalizane kwa njia nyingine.
Kama mwanamke huyu alivyosema, wapo wake za watu ambao wamekuwa wakijirahisi sana kwa wauza duka wakijua itakuwa rahisi kwao kuambulia vitu vidogodogo na fedha. Kwa maana hiyo mkeo si wa kumruhusu kuwa na uhusiano wa karibu sana na wauza duka.

Mganga wa kienyeji.
Wapo waganga wa kienyeji ambao ni wasanii tu. Katika hawa wanaodaiwa kuwa wasumbufu kwa wake za watu ni wale wanaojidai kutibu magonjwa ya kinamama.




JUST LITTLE CREATIVITY NEEDED ----- UBUNIFU KIDOGO UHITAJIKA HARUSINI..

A Beach Wedding is often casual. Let your guests feel the sand between their toes by providing the option to remove their shoes. Let the bartender worry about getting them to let their hair down. You also could only offer flip flops for the guests with really high heels.




                            In case kuna jua kali sana... 
  


                             This would be an awesome bridesmaid gown as well!

                    

      What's not to love? Great color combo and awesome splash of color.

 





 ALSO design za keki zaweza kuwa kivutio kikubwa katika harusi yako




                                     


              
           Table setup








SPECIAL FOR TWENDE HARUSINI GROOMS --- HOW TO TIE , NAMNA YA KUFUNGA TIE.







When it comes to tie-tying, most of us are one-dimensional at best. Some guys mastered the art of a single knot a long time ago, and then left well enough alone; those of us who seldom wear ties either leave the thing tied or rely on a clip. And not that any of this is right or wrong, but as men, especially well-dressed men, we should possess the practical skills of learning how to tie a tie and creating various tie knots. It’s not a “one-knot-fits-all” world we live in. So, in an attempt to increase your tie-tying acumen, here is a quick look at how to tie a tie and achieve four of the most popular knots.

Windsor

Windsor Knot - AM Style BibleThe granddaddy of them all, the Windsor is the most traditional knot and is the first one to master. It creates a hefty, professional-looking knot, meaning that it works best for any occasion when you want to look completely respectable.

1. Place the tie around your shoulders, top-side up, with the fat end hanging roughly a foot lower than the skinny end.Windsor Knot - AM Style Bible


2.
Cross the fat portion over the skinny end to make an X fairly close to your neck (around the second shirt button).
Windsor Knot - AM Style Bible

3. Loop the fat end underneath the thin end and up through the neck loop. Drop it down so that it overlaps the thin end again.


Windsor Knot - AM Style BibleWindsor Knot - AM Style Bible4. Pull the fat end behind the bundle of cloth you've created (your first step toward the final knot) to the left. Pull it up and drop it down through the neck loop again, then pull it to the left again.


5. Pull the fat end over from left to right, overlapping your evolving knot.
Windsor Knot - AM Style Bible

6. Pull the fat end up through the loop again, behind what now looks like a nearly complete knot.


7. Bring the fat end back down and insert it through the knot.
Windsor Knot - AM Style BibleWindsor Knot - AM Style Bible

8. Finish your knot by tightening it. In doing so, you will see the beginnings of a natural dimple form. Manipulate it manually to make this dimple as distinct as possible. Its purpose is to add depth to an otherwise flat, bland-surfaced tie, and concurrently to mark you as a man of style. You will never leave the house without a dimple in your tie again.

Half-WindsorHalf-Windsor - Credit: AM Style Bible

In the same vein as the Windsor, the Half-Windsor enjoys a professional prestige and polished reputation. However, it’s not quite as bulky, which makes it a better option for narrower collars and softer shirts.

1. Place the tie around your shoulders, top-side up, with the fat end hanging roughly a foot lower than the skinny end.
Half-Windsor - Credit: AM Style Bible

2. Cross the fat portion over the skinny end to make an X fairly close to your neck (around the second shirt button).Half-Windsor - Credit: AM Style Bible


3. Pull the fat end behind the thin end to the right, then up in front of it and down through the neck loop.


Half-Windsor - Credit: AM Style BibleHalf-Windsor - Credit: AM Style Bible4. Pull the fat end over from right to left, overlapping your evolving knot.


5. Pull the fat end up through the loop again, behind what now looks like a nearly complete knot.
Half-Windsor - Credit: AM Style Bible

6. Bring the fat end back down and insert it through the knot.


7. Finish your knot by tightening it; again, accentuate that dimple.



Four-in-Hand

Looking for a knot with little time investment and less pretension? The Four-in-Hand is all yours. It’s an on-the-go knot that works with both casual looks and narrow collars. When it comes to learning about how to tie a tie, this one's the easiest to master.

1. Place the tie around your shoulders, top-side up, with the fat end hanging roughly a foot lower than the skinny end.Four-in-Hand - Credit: AM Style Bible


2. Cross the fat portion over the skinny end to make an X fairly close to your neck (around the second shirt button).Four-in-Hand - Credit: AM Style Bible


3. Wrap the fat end around the thin end, then up through the neck loop. Drop the fat end back down and through the knot.Four-in-Hand - Credit: AM Style BibleFour-in-Hand - Credit: AM Style Bible


4. Finish your knot by tightening it. Note that the dimple is much harder to produce on this kind of knot and may prove entirely elusive.

Pratt

Pratt - Credit: AM Style Bible The Pratt is that well-rounded knot most guys will depend on religiously. Its symmetrical look and less complicated construction deem the Pratt the most universal knot that goes with any dress shirt.

1. Place the tie around your neck upside down (with the seams facing outward). Note that the fat end should be hanging lower than the thin end.

Pratt - Credit: AM Style Bible
2. Cross the two ends over to form an X and flip the fat end up and through the loop to form a knot around the smaller end.

Pratt - Credit: AM Style Bible
3. Pull both ends apart quite tightly to ensure your knot is snug, then bring the fat end of the tie over the thin end to cover your first knot.


Pratt - Credit: AM Style BiblePratt - Credit: AM Style BiblePratt - Credit: AM Style Bible 4. Pull the fat end up and through the loop, then drop it down through the knot.


5. Tighten and dimple up.

all tied up

In a complicated world, no one wants more responsibility and more work. But when it comes to fashion -- and most definitely the tie knot -- going the extra mile can really pay off. Sure, that solitary knot you’ve relied on for years may get the job done, but it may do so counter productively. So study up and practice hard: Show the world you know how to tie a tie.

UNAZIJUA HASARA ZA MAPENZI YA KUCHUNGUZANA?



Katika maisha mawazo ni kitu cha kawaida kwa mwanadamu, lakini hata hivyo matumizi ya akili lazima yawekewe mipaka na isiwe ni kitu cha kawaida ubongo kuruhusiwa kwenda mwendo mkali kulingana na uwezo wake. 

 Waundaji wa mashine, kwa mfano, wakati wanatengeneza injini waliweka mwendo kasi wa kiwango cha juu, hata hivyo huonya kuwa si kila wakati mwendesha chombo cha moto anaruhusiwa kutumia ‘spidi’ zote zilizomo ndani ya mashine yake.
 Hali hiyo ndiyo inayojitokeza katika uwezo wa ubongo katika kufikiri na kupata majibu ya kina ya nini kilichopo na kitakachotokea. Ni ukweli ulio wazi kwamba ubongo ni mashine kubwa yenye uwezo wa ajabu usioelezeka. 

 Watu wengi waliofanikiwa na wanaotaka kufanikiwa ni wale ambao wanajua namna ya kuutumia ubongo katika kupanga maisha yao. Kila unachokiona ni zao la ubongo kwani mawazo ndiyo mwanzo wa kila kitu kilichopo duniani. Binafsi naamini hata Mungu aliweza kabla ya kuumba ulimwengu.

 Lakini pamoja na umuhimu wa mwanadamu kutumia akili yake kupata majibu ya hisia, maono, mazingira na vitu anavyokutana navyo maishani, kuna wakati umuhimu huo hukosa maana na maonyo ya kuwa na udhibiti kasi ya fikra yanachukua nafasi.
  Haijalishi mhusika ana uwezo wa kiasi gani ndani ya akili yake! Kumbuka pia onyo la dereva kutumia mwendo kasi kila anapowasha gari lake, halafu linganisha na akili yako au ya mwanadamu unayemtazama utagundua kuwa kithibiti mwendo kinahitajika hata katika mawazo.

 Hebu chukua jukumu la kuutazama ulimwengu huu tulio nao na uangalie uozo wa wanadamu katika kujiheshimu, kisha ujiulize hivi kuna mwanaume au mwanamke ambaye anaishi bila kumsaliti mpenzi wake? Baada ya swali hilo wachukue rafiki zako unaokunywa nao pombe na kufanya kazi nao kazi uone kama hamjawahi kuoneshana nyumba ndogo, baadaye fumba macho uiulize akili yako kuna asiyesalitiwa?
 Wakati unasubiri majibu endelea kuweka viashiria kichwani mwako kwa kumfikiria mkeo anayemhudumia bosi chai huko ofisini au Muuguzi anayefanya kazi chumba kimoja na Daktari usiku au askari polisi aliyeolewa anayekesha lindoni na bachela, kisha subiri majibu kutoka kwenye ubongo wako!
 Bila shaka kwa mchakato huo mfupi tu majibu ya haraka yatakayokuja ni hakuna asiyesalitiwa. Isipokuwa kuna kuuficha ukweli. Sasa kwa majibu hayo ya akili mkeo unampenda nini wakati unafahamu kuwa anatoa penzi kwa wanaume wengine kama wewe.
 Thamani ya ndoa na umuhimu wako unatoka wapi, tuseme hupati uchungu pale unapohisi unaibiwa mumeo? Kama unapata inakuwaje pale akili inapokupa majibu kuwa mkeo si mwaminifu?
Hapa ndipo penye kiini cha somo letu kwamba, kuna wakati tunaruhusu mawazo yetu yakimbie mwendo kasi kwenye njia yenye mabonde na kona na wengi wetu tumeharibu ndoa zetu na wengine tumeachana na wapenzi wetu kwa ujinga wa kutokuzuia kasi ya akili zetu. 

 Inashangaza kusikia na kuona kuna baadhi ya wanandoa wanaishi kwa kupelelezana kila siku kama askari wakaguzi wa dawa za kulevya. Mke akichelewa kurudi lazima akaguliwe kwanza kama hakutoka kupasha mwili nje, kadhalika mwanaume  apimwe kwa kunuswa kama hakuchepukia nyumba ndogo.
 Hivi tulishawahi kujiuliza kuwa tunautumia ubongo wetu vibaya kutafuta ufumbuzi wa mambo ya kipuuzi!? Tunawafuatilia wake zetu maofisini kwao ili iweje? Hatuaminiani kwa nini wakati tumeoana, je mapenzi yana faida gani ndani ya usaliti na kujua kuwa sio wewe peke yako unayefaidi tunda la mkeo au mumeo.
 Wakati nikitafakari kuhusu mada hii kaka mmoja aliniambia kuwa amempata mchumba ambaye ni mzuri sana , anampenda na kumheshimu, lakini alitaka kujua atawezaje kumwamini kuwa hatamsaliti? Kabla sijamjibu akajaza hoja nyingine kwamba kuna watu kibao wanamsumbua mchumba wake kwa maana hiyo ana shaka kuna siku atalegeza msimamo na kumsaliti!

 Binafsi sikufikiria sana kumjibu swali lake, bali nilimwambia kuwa jibu la swali lako ni KUJIMILIKISHA UJINGA. Nikiwa na maana ile ile ya kudhibiti mwendo wa akili yake kwa kuacha kuwaza mambo ambayo yanaashiria kutumia mwendo kasi wa akili kwenye njia mbaya. Siku zote kushinda maisha kunahitaji uwezo wa mwanadamu wa kujua ni wapi awaze sana na kupata ufumbuzi na wapi awaze kidogo au asiwaze.
 Maana haiwezi kuwa busara kwa mtu aliyemfuma mkewe na mwanaume mwingine atumie akili kujua  ilikuwaje mpaka kukawepo makubaliano au msukumo upi ulimvuta mkewe kuutoa utu wake kwa mwanaume mwingine?

 Inapofikia hatua hiyo umuhimu wa kulegeza mwendo wa akili kwa kusema sijui na sina haja ya kujua ilikuwaje, hata kama akili bado ina uwezo wa kujua mengine zaidi sema sitawaza juu ya jambo hili la kipuuzi! Ukifanya hivyo utakuwa sawa na dereva anayeendesha gari lenye injini yenye kasi kubwa lakini ameamua kwa makusudi tu kupunguza mwendo kwa usalama wa maisha yake.
 Hii ndiyo siri ya usalama wa ndoa na uhusiano wa mapenzi ndani ya hofu ya usaliti. Ukiona mawazo yanakuja kutaka kutoa jibu la kuchelewa kwa mumeo kurudi huku dondoo za kuwepo kwa msichana mwingine kazini kwake zikichipuka, yatupilie mbali mawazo hayo. NDOA MAANA YAKE NI KUAMINIANA. UKIONDOA UAMINIFU HAKUNA NDOA!





Kwa Hisani ya Manyota.
Copyright © 2013 Owned and Managed by Bouner Disneysorata Tanzanite! All right Reserved..